AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akichonga na Risasi Jumamosi hivi karibuni mrembo huyo amesema kuwa, lengo lake ni kuwa mtaalam wa mambo ya kompyuta hivyo anataka akasomee kozi ya Information Technology (IT).
Mrembo huyo anakiri kwamba, ameshapoteza muda mwingi kwenye mambo yasiyo sahihi na sasa ameona bora arudi shule kwani umri unamruhusu kuwa na maisha tofauti na aliyonayo sasa. “Siku zote napenda kusomea kozi ya IT, ni kitu kilichopo kwenye ndoto yangu na kwa sababu sasa nimekua na kutulia, naamini nitasoma kwa utulivu kabisa,” alisema Tunda.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK