Msanii Auawa Kwa Kisu na Mpenzi wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa vichekesho nchini Kenya ambaye ni maarufu kwenye igizo la 'Vioja Mahakamani', Jamal Nasor, ameuawa baada ya kuchomwa kisu na mpenzi wake aliyetambulika kwa jina la Grace Kananu.


Tukio hilo ambalo limetokea Disemba 12 katika eneo la Athi River, kaunti ya Machakos nchini humo, limeelezwa kuwa wawili hao walikuwa wakigombana, ndipo Grace alipoamua kumshambulia kwa kumchoma kisu na kujemruhi na kupelekea kifo chake.

Baada ya kufanya tukio hilo, mwanamke huyo alikimbia na kumuacha Jamal peke yake hadi alipokuja kuokotwa na wasamaria wema ambao walimpeleka hospitali ya Shalom mjini Machakos.

Polisi tayari wamemkata mshukiwa wa mauaji hayo na anatarajiwa kupandishwa kizimbani, kujibu mashtaka yanayomkabili.

Jamal ambaye pia alikuwa akiigiza kama Jaji kwenye igizo la 'vioja mahakamani' na kwenye vichekesho maarufu vya familia vinavyojulikana kama 'junior', mchekeshaji huyo alikuwa akiigiza kama 'Baba Junior'. Jamal Nasor amezikwa mjini Mombasa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad