AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mfanyabiashara Happy Mboya aliyefariki dunia katika hospitali ya Mwananyamala na mwili wake umezuiwa kuchukuliwa na ndugu
-
Inaelezwa kuwa hatua hii ni baada ya kugundulika kuwa na #DawaZaKulevya. Ulipaswa kusafirishwa kwenda Moshi leo
-
Jeshi la Polisi limechukua mwili huo na kuupeleka katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya uchunguzi zaidi
-
Mume wa marehemu anashikiliwa na Jeshi la Polisi akituhumiwa kuhusika na tukio hilo
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK