Mwili wa Mfanyabiashara Wazuiwa Hospitalini, Wagundulika Kuwa na Dawa za Kulevya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mfanyabiashara Happy Mboya aliyefariki dunia katika hospitali ya Mwananyamala na mwili wake umezuiwa kuchukuliwa na ndugu
-
Inaelezwa kuwa hatua hii ni baada ya kugundulika kuwa na #DawaZaKulevya. Ulipaswa kusafirishwa kwenda Moshi leo
-
Jeshi la Polisi limechukua mwili huo na kuupeleka katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya uchunguzi zaidi
-
Mume wa marehemu anashikiliwa na Jeshi la Polisi akituhumiwa kuhusika na tukio hilo
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad