AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa Nigeria, Mohammed Buhari ametangaza kuutambua mchango wa Maxence Melo kutoka Tanzania kwa juhudi zake kusimamia kwa umadhubuti utekelezaji wa sera ya ulinzi wa watoa taarifa barani Afrika
Akiwa katika mkutano wa kongamano la Vijana wa Afrika dhidi ya Rushwa lilofanyika Abuja, Rais Buhari amesema kuwa Maxence Melo kupitia JamiiForums amekuza uhuru wa kufichua maovu na kujieleza na amemtaja kama mmoja wa vijana wanaojenga Afrika tunayoitaka
Ameongeza kuwa ni shujaa asiyetajwa
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK