Rais wa Nigeria Buhari Ampongeza Mmiliki wa Jamii Forums Maxence Melo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Rais wa Nigeria, Mohammed Buhari ametangaza kuutambua mchango wa Maxence Melo kutoka Tanzania kwa juhudi zake kusimamia kwa umadhubuti utekelezaji wa sera ya ulinzi wa watoa taarifa barani Afrika

Akiwa katika mkutano wa kongamano la Vijana wa Afrika dhidi ya Rushwa lilofanyika Abuja, Rais Buhari amesema kuwa Maxence Melo kupitia JamiiForums amekuza uhuru wa kufichua maovu na kujieleza na amemtaja kama mmoja wa vijana wanaojenga Afrika tunayoitaka

Ameongeza kuwa ni shujaa asiyetajwa
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad