AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Unaweza ukashangazwa na kauli ya Cristiano Ronaldo baada ya kuulizwa kama anammiss Lionel Messi ambaye alikuwa mshindani wake mkuu Hispania, Ronaldo alikataa na kusema kuwa labda Messi ndio amemkumbuka yeye lakini sio yeye kumkumbuka Lionel Messi, hiyo ilikuwa wakati wa mahojiano na Gazzetta Dello Sport.
“Hapana labda yeye ndio ananikumbuka, Nimecheza England, Hispania, Ureno na timu ya taifa lakini yeye amekuwa Hispania labda huenda yeye ndio akawa ananihitaji mimi zaidi, kwangu maisha ni changamoto na nazipenda na napenda watu wafurahi, ningependa kumuona akija kucheza Italia (Messi) kama mimi nilivyokubali changamoto”>>> Ronaldo
Ronaldo aliondoka kwa uhamisho wa kushitukiza kutoka Real Madrid na kujiunga na Juventus msimu huu kwa ada ya uhamisho wa euro milioni 100, Ronaldo ni miongoni mwa wachezaji wa Juventus walioiongoza katika Serie A kucheza michezo 15, kushinda 14 na kutoka sare mchezo mmoja pekee wakiwa hawajapoteza game.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK