AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na Amani Shehe huyo alisema, kauli ya Uwoya kudai kuwa yeye si Muislamu inaonesha kuwa wakati akibadili hakuifuata dini bali mwanaume.
“Mwanadada huyo kuchukua uamuzi wa kutaka kuolewa na aliyekuwa mwenza wake hakuridhia kutoka moyoni, hivyo katika ndoa hiyo Uwoya alimfuata mwanaume na wala hakufuata dini,” alisema shehe huyo.
Aliongeza kusema, licha ya kumfuata mwanaume huyo lakini pia mume inawezekana hakumfundisha masuala ya dini kama anavyotakiwa kufanya na ndiyo maana mkewe akaamua kurudi katika dini yake ya awali ambayo ni ya Kikristo.
TUJIKUMBUSHE
Uwoya alifunga ndoa ya Kiislamu na Dogo Janja na kutangaza kuwa, amebadili dini na kuitwa Sheila, hata hivyo baada ya miezi kadhaa wawili hao waliachana kimyakimya bila kuweka wazi ndoa yao kuvunjika.
Aidha, baada ya kuwepo kwa uvumi huo, hivi karibuni Uwoya aliibuka na kusema hakuwahi kubadili dini kwa ajili ya kuolewa jambo ambalo shehe amelitolea ufafanuzi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Sheikh wangu wachana nao hao wasnii.wanaweza kukuvunjia heshima.maisha yao ni sanaa hata kwenye dini na ndoa.
ReplyDelete