AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shilole amezungumza hayo Jijini Dar Es Salaam wakati akipiga stori na chombo kimoja cha Habari na kusema kuwa anaiomba Serikali kuwapa kibali cha kawaida ili wasisumbuliwe katika maeneo yao ya kazi.
'' Kiukweli naiomba Serikali iniangalie kwa jicho la pili kwasababu mimi ni Mwanamke ninaefanya kazi kwa kujitoa wakini saidia nina uwezo wa kuwasaidia Wanawake milioni moja katika nchi yangu na pia itusaidie sisi mama lishe isituwekee mazingira magumu ya kazi" alisema Shishi
Hata hivyo Shishi aliongeza kuwa anaiomba Serikali iwasaidie kibali cha kawaida ili kwenye biashara zao wasisumbuliwe.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK