AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tamasha la Wasafi Festival lililokuwa likifanyika jana (Jumamosi) usiku limeahirishwa baada ya mvua kubwa kunyesha na hivyo kushindwa kuendelea.
Hata hivyo onesho hilo lililokuwa likifanyika katika Uwanja wa Nelson Mandela mjini hapa liliahirishwa huku wasanii Country Boy, Queen Darlin, Gigy Money, Lavalava na Young Killer wakiwa tayari wameshamaliza kupiga shoo zao jukwaani.
Kutokana kuahirishwa kwa tamasha hilo Msanii Diamond Platnumz alipanda jukwaani na kuwaomba radhi mashabiki waliokuwa uwanjani hapo na ambapo alitangaza kuwa Tamasha hilo litaendelea tena uwanjani hapo leo Jumapili jioni kuanzia saa 10:00.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK