AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Watafiti nchini Marekani wanaendelea na uchunguzi wa kinga itakayokuwa inadhibiti maambukizi ya Malaria kabla mashambulizi kutokea
Kwa muda mrefu watafiti wamefanikiwa kutumia kemikali kuua vimelea vya Malaria
Wanasayansi wanamatumaini ya kupata dawa itakayokuwa inaua vimelea vya Malaria kwenye ini na mfumo wa damu
Dawa hiyo inatarajiwa kukinga maambukizi kwa muda wa miezi 3 hadi 6
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK