AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Vanessa Mdee ameamua kuweka wazi hisia zake na kukitolea uvivu kituo cha utoaji habari cha Trace Muziki kilichopo nchini Kenya.
Msanii huyo kupitia ukurasa wake wa Twitter amefunguka na kusema kwamba ” Wacha niseme tu, TraceMziki imekuwa station fulani ya upendeleo kwa wasanii kadhaa kwa muda mrefu sana.kuna ule upendeleo wa kuficha alafu kuna ile live bila chenga”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK