Breaking NEWS: Chris Brown Aachiwa Huru na POLIS wa Ufaransa Baada ya Kutuhumiwa Kubaka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



MWANAMUZIKI wa Marekani,  Christopher Maurice Brown maarufu kama Chris Brown,  ameachiwa huru na polisi bila dhamana jijini Paris, Ufaransa,  baada ya kukamatwa na kuhojiwa leo, Januari  23,  juu ya tuhuma za mwanamke wa Ufaransa aliyesema amembaka.

 Baada ya kuachiwa msanii huyo alikanusha taarifa za mwanamke huyo kuhusiana na kumfanyia tukio hilo huku post hiyo ikiandamana na picha iliyokuwa na maandishi yaliyosomeka ‘This Bitch Lyin’.

 “Nataka kuweka mambo sawa, huu ni uwongo, huku ni kunivunjia heshima kwa mwanangu na familia yangu kwa hadhi niliyonayo” aliandika Breezy kwenye akaunti yake ya instagram.

Mwanasheria wa Chris Brown amefunguka na kusema kwamba madai yaliyokuwa yanamkabili msanii huyo si ya kweli,  ni uongo mtupu.

Chris Brown anaruhusiwa kuondoka Ufaransa muda wowote kuanzia sasa kwa sababu hana kesi inayomkabili
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad