AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa muziki wa hip hop Bongo, Chidi Benz ametoa neno baada ya kusema Diamond anaoa.
Chidi Benz amempa hongera Diamond huku akimpa ushauri kuwa anatamani msanii huyo aoe msichana ambaye watu hawamfahamu.
"Safi hongera yake na mtoto wa Kiislam yule anatakiwa kuoa lakini simfahamu vizuri yule binti sijawahi kujua kuhusu binti natamani Naseeb awe mtoto mmoja ambaye watu wengi hawamjui," alisema Chidi Wasafi TV
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK