Darassa Afunguka ishu ya Kutumia MADAWA ya Kulevya, Kukaa Kimya kwa Muda Mrefu na Wimbo wake Bora kwa Mwaka 2018

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Darassa amefungua kwa mara ya kwanza sakata la kutumia madawa ya kulevya kwa kusema kuwa hiyo ilikuwa ni skendo tu iliyotengenezwa na watu.

Darassa kupitia kipindi cha XXL cha Clouds FM amesema kuwa stori hizo zilitengenezwa kwa lengo la kuharibu Brand yake kwani walitaka kujua undani wa ukimya wake.

“Sijui ni nani na sijui alitoa wapi? hizo stori zilikuja kwa lengo la kuja kuniharibu kisaikolojia. Lakini nilikuwa very Positive kuzi-handle,“amesema Darassa .

Darassa amesema kimya chake cha mwaka mmoja kwenye gemu, kilisababishwa na malezi ya mtoto wake na kujiandaa kimuziki zaidi ikiwemo kurekodi ngoma kila siku kwenye studio yake ya nyumbani.

Kwa upande mwingine, Darassa amesema kuwa wakati yupo kimya wimbo pekee uliomvutia zaidi ni wimbo wa Iokote wa Maua Sama .

Darassa amekaa kimya kwa miaka miwili bila kuachia ngoma wala kufanya Interview na Media yoyote hapa Tanzania na nje ya nchi.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad