Chama cha Wananchi (CUF) kesho Januari 27, mwaka 2019 kitafikia miaka 18 ya kumbukumbu ya wahanga wa kadhia na mauaji yaliyotokea Januari 26 na 27 mwaka 2001 hasa katika kisiwa cha Pemba ambapo kesho bendera ya chama hicho zitapepea nusu mlingoti nchi nzima na shughuli za maombi kwa marehemu wote na kitaifa yatafanyika Mkoani Dar es salaam katika kata Mnyamani.