AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanadada Hamisa Mobeto amefunguka na kusema kuwa watu wamekuwa na tabaia ya kuonyesha kuwa wanawapenda pindi tu wanapokufa kwa kuwalilia na kuwawekea mashada ya maua wakati walitakiwa kuonyesha huo upendo wakiwa hai.
hamisa analaani kitendo icho na kuona ni kama unafki na kwamba hakuna rafiki wa kweli uniani kwa sababu kila mmoja anakupenda pale unapokua.
Akisema swala hilo bila kulenga mhuiska, Hamisa alifanya hivyo katika snapchat yake huku akisema kuwa “upendo mwingi huja watu wakiona kuwa umekufa, watakuoa maua wakati wanajua kuwa huweiz kuyanusa’
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK