AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mara ya kwanza msimu huu Yanga SC wanapoteza mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu Tanzania Bara mbele ya Stand United Chama la wana kwenye dimba la Kambarage Shinyanga baada ya kukubali kipigo cha bao 1 – 0.
Dar es salaam Young Africa imekubali kipigo hicho kutoka kwa Stand baada ya nahodha wake Jacob Masawe kuifungia timu hiyo dakika ya 88 ya kipindi cha pili.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK