Kwa mara ya kwanza Yanga yapokea kichapo ligi kuu, Masawe aipatia ushindi Stand United dakika za lala salama

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kwa mara ya kwanza msimu huu Yanga SC wanapoteza mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu Tanzania Bara mbele ya Stand United Chama la wana kwenye dimba la Kambarage Shinyanga baada ya kukubali kipigo cha bao 1 – 0.

Dar es salaam Young Africa imekubali kipigo hicho kutoka kwa Stand baada ya nahodha wake Jacob Masawe kuifungia timu hiyo dakika ya 88 ya kipindi cha pili.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad