AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ofisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara, ameamua kujifariji kimtindo kwa kukihusisha kipigo walichokipata dhidi ya AS Vita kwa kuwataja Yanga kuwa waliwahi kuwafunga pia.
Simba ilipoteza mchezo huo jana kwa kuchapwa mabao 5-0 ukiwa ni mchezo wa kundi D katika Ligi ya Mabingwa Afrika.
Manara kupitia Instagram yake ameandika kuwa hata Yanga waliwahi kuwafunga, akisema Simba si ya kwanza kupokea kichapo hicho.
Amewasema Yanga kuwa wasijisahau kwani waliwahi kuwafunga kipindi cha nyuma katika Ligi Kuu Tanzania Bara.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK