AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mshambuliaji huyo wa zamani wa Simba SC na TP Mazembe, sasa thamani yake inatajwa kuwa zaidi ya Sh bil 17 ambapo alitua Genk kwa Bil 1.3 tu mwaka 2016.
Kazi ya staa huyo mwenye urefu wa futi tano na inchi 11, imemfanya ahusishwe kutakiwa na klabu mbalimbali ikiwemo Everton ya England na nyingine kadhaa. Sasa hebu tucheki baadhi ya timu ambazo zinatajwa kumfukuzia.
CARDIFF CITY Cardiff City inayoshiriki Ligi Kuu ya England inapambana kusaka saini ya mshambuliaji ili iweze kuongeza kasi zaidi kwenye ligi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK