Nandy Akataa Kufananishwa na Daimond, Alikiba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nandy Akataa Kufananishwa na Daimond, Alikiba
Msanii wa Bongo Fleva, Nandy amesema si sawa kwa yeye kufananishwa kimafanikio na wasanii wakubwa waliomtangulia kimuziki.

Akizungunza na  Clouds FM amesema yeye bado ana muda mfupi kwenye muziki, hivyo anahitaji kukua zaidi.

"Nina miaka miwili kimuziki na kuna wasanii wapo kwenye game muda mrefu na mimi najivunia uwepo wao kwenye game hivyo sidhani kama ni sawa kufananishwa nao maana hata wao walianza kupokea mkwanja wa show muda kabla," amesema Nandy.

Diamond na Alikiba ni wasanii ambao kwa sasa wanatajwa kuwa na fedha nyingi zaidi kutokana na show za fedha nyingi wanazofanya.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad