Nay wa Mitego afunguka ishu ya ndoto ya Urais

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa Muziki, Nay wa Mitego amefunguka ishu ya kugombea nafasi ya uongozi  nchini.

Nay wa Mitego ameiambia EATV, kuwa ana ndoto ya kuwa Rais wa nchi lakini Rais ambaye sio mwanasiasa.

"Kwasababu sipendi siasa. Nina ndoto ya siku moja kuwa Rais wa nchi yangu lakini Rais ambaye sio mwanasiasa vitu vitakuwa vimenyooka hivi kama ninanyoosha vingine, " alisema Nay.

Kipindi cha nyuma kulikuwa na tetesi kuwa Nay wa Mitego anataka kugombea Ubunge 2020 jambo ambalo Nay amekataa.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad