AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Timu ya Simba inatarajiwa kuingia kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuchuana na AFC Leopards katika michuano hiyo.
Aussems amesema wachezaji hao amewaondoa kwa sababu mbalimbali ikiwemo ya majeruhi,
Mbelgiji huyo aliwataja wachezaji hao ni Bocco, Erasto Nyoni, Shomary Kapombe wote wenye majeraha, Asante Kwasi matatizo ya kifamilia ambaye yupo kwao Ghana na Yusuph Mlipili yeye amemuweka kando kwa sababu ya kiufundi.
“Sheria za SportPesa zinaruhusu kuwatumia wachezaji 22 pekee, hivyo kama kocha tayari nimependekeza wanajeshi wangu nitakaowatumia katika michuano hii.
Hata hivyo amesema wachezaji wake wapo fiti kwa ajili ya mchezo huo na wachezaji watano pekee ndiyo wanatarajiwa kuikosa michuano hiyo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK