AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hii ni baada ya shabiki mmoja kumuuliza Zari kupitia mtandao wa Instagram iwapo ana mpango wa
kutafuta mwanaume wa kukaa naye kwa sasa.
"Mume wangu sio wa mitandao ya kijamii, ni mume wangu na sio wetu. Cant post him for nyaku nyaku to shaku shaku. Real MVPs are so low key," ameeleza Zari.
Utakumbuka mwaka jana februari ndipo Zari The Bosslady alitangaza kuachana na Diamond Platnumz kwa kile alichoeleza kuwa muimbaji huyo alikuwa akimvunjia utu wake na heshima kwa kuwa kwenye mahusiano na wanawake wengine.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK