Baada Ya Kudai Kuwa Kwenye Mahusiano na Godzilla, Bella Adaiwa Kuvishwa Pete na Mwanaume Mwingine

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada Ya Kudai Kuwa Kwenye Mahusiano na Godzilla, Bella Adaiwa Kuvishwa Pete na Mwanaume Mwingine
Baada Ya Kudai Kuwa Kwenye Mahusiano na Godzilla, Bella Adaiwa Kuvishwa Pete na Mwanaume Mwingine

Msanii wa Bongo movie Isabella Mpanda alitengeneza headlines wiki iliyopita Baada ya kudai kuwa kwenye mahusiano na Aliyekuwa Msanii wa Bongo fleva Marehemu Godzilla.

Mbele ya Media mbali mbali Bella alilia machozi na kusema kuwa Mpaka kipindi Godzilla anafariki dunia yeye Ndiye alikuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na msanii huyo.


Gazeti la Risasi Jumamosi,  lilizungumza na rafiki wa karibu na Bella ambaye alionesha kushtushwa na kitendo cha Bella kujitambulisha kwamba alikuwa na uhusiano na marehemu wakati miezi michache iliyopita alichumbiwa na mwanaume mwingine aitwaye John aliyejaliwa kuzaa naye mtoto mmoja.

Kwenye mahojiano na Gazeti hilo Bella alidai kuwa alishaachana na mwanaume aliyemchumbia takriban miezi mitano iliyopita na baada ya kuachana naye, aliamua kurejea kwa Godzilla ambaye aliwahi kuwa mpenzi wake kabla ya kuchumbiwa.

Niliachana na baba mtoto wangu nikaamua kurudi kwa mpenzi wangu wa siku nyingi ambaye ni Godzilla hivyo ndivyo ninavyoweza kusema kwa sasa, naomba uniache maana nipo kwenye majonzi”.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad