AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mamlaka nchini humo zinaarifu kuwa bomu hilo lilikuwa linamilikiwa na bwana harusi.
Mlipuko huo ulitokea kwenye karamu iliyoandaliwa na mpambe baada ya kumalizika katika sherehe za fungate ya siku 10.
Bibi harusi hakuwepo eneo la tukio wakati bomu hilo likilipuka na hivyo amepona.
Tukio hilo limetokea kwenye Kijiji cha mbali katika mkoa wa Amhara, kaskazini ya mji mkuu Addis Ababa.
Bomu hilo lilikuwa likimilikiwa kinyume cha sharia na bwana harusi huyo, polisi wameileza BBC.
Bwana harusi huyo amefahamika kama Mohammed Hassan Mohammed mwenye umri wa miaka 25. Na mpambe wake amefahamika kama Bogale Sebsibe Abera, 24.
Mamlaka nchini Ethiopia zimekuwa zikishutumiwa vikali kwa kushindwa kudhibiti wa umiliki wa silaha kinyume cha sheria. Wengi wa wamiliki hao wasio halali hufyatua risasi angani katika matukio makubwa kama misiba na harusi. Bwana harusi na mpambe wake walipuliwa na bomu
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK