ESMA Ageuka Chui Kuulizwa Malezi ya Watoto wa Zari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Dada wa msanii diamond platinumz amegeuka kuwa mbogo hasa baada ya mwandishi wa habari kumuuliza wao kama famili ya Diamond wanajiskiaje pale wanaposikia mama watoto wa watoto wa Diamond zari anapotangaza katika mitandao kuhusu kutelekeza watoto wake.

Zari amekuwa akisema kuwa baba wa watoto wake hana anachojali kuhusu watoto hao na kwamba kila kitu kwa sasa anajua yeye mwenyewe.

Mtangazaji alipouliza kuhusu swala hilo ESMA alikuwa mkali na kusema kuwa kuna baadhi ya mambo hana haja ya kuyajibu kwa sababu hayamhusu kuyaongelea.

"Sitaki kuulizwa habari zake, unaniuliza mimi kwani zinanihusu.Kwani mimi ni Diamond, sitaki mambo ya ajabu ajabu …(tusi)"
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad