AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dada wa msanii diamond platinumz amegeuka kuwa mbogo hasa baada ya mwandishi wa habari kumuuliza wao kama famili ya Diamond wanajiskiaje pale wanaposikia mama watoto wa watoto wa Diamond zari anapotangaza katika mitandao kuhusu kutelekeza watoto wake.
Zari amekuwa akisema kuwa baba wa watoto wake hana anachojali kuhusu watoto hao na kwamba kila kitu kwa sasa anajua yeye mwenyewe.
Mtangazaji alipouliza kuhusu swala hilo ESMA alikuwa mkali na kusema kuwa kuna baadhi ya mambo hana haja ya kuyajibu kwa sababu hayamhusu kuyaongelea.
"Sitaki kuulizwa habari zake, unaniuliza mimi kwani zinanihusu.Kwani mimi ni Diamond, sitaki mambo ya ajabu ajabu …(tusi)"
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK