AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
waliyoyapata ya kufungwa na Simba sc na badala yake wataendelea kupambana kuhakikisha
wanafanya vizuri katika michezo inayofuata ya ligi.
Fei Toto alisema Simba walitumia vyema nafasi moja waliyoipata na kufanikiwa kupata ushindi
huo walioupata.
“Hatukati tamaa, tutaendelea kupambana, niwaombe mashabiki waendelee kutusapoti ili
tupate matokeo mazuri,” ameeleza Fei Toto.
Ameendelea kwa kusema, 'kikubwa tunajipanga kwa ajili ya michezo ijayo ya ligi na kikubwa
tunataka kuona timu ikiendelea kuongoza ligi na mwishoni mwa msimu tuchukue ubingwa'.
Licha ya kipigo kutoka kwa Simba SC hapo Jumamosi, Yanga SC bado inaongoza Ligi Kuu
Soka Tanzania Bara ikiwa imejikusanyia pointi 58 katika michezo 24 ya Ligi waliyocheza hadi sasa.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK