AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MUIGIZAJI BORA WA KIKE: Tuzo imekwenda kwa Flora Patience Kihombo kupitia movie ya ‘Kesho’.
Filamu Bora yenye Maudhui ya Kitaifa – Filamu iliyoshinda ni SIYABONGA kutoka kwa Salim Ahmed a.k.a Gabo Zigamba
Sinema Zetu imetoa tuzo kwa filamu ambazo hazijapata tuzo katika vipengele vingine lakini zimefanya vizuri katika mikoa mbalimbali.
MSHINDI – Tuzo ya Mtu Aliyetukuka katika tasnia ya Filamu Tanzania inakwenda kwa Mzee Majuto (ambaye kwa sasa ni marehemu). Tuzo hii imetolewa na majaji.
Filamu Bora upande wa Filamu Fupi – Filamu iliyoshinda ni SUPA MAMA
Muigizaji Bora wa Kike katika World Cinema – Washindi ni wawili, Leena Alam kutoka Afghanstan na Myra Vishwakarma kutoka India.
Makala Bora – Mshindi ni Adam Juma kupitia makala ya AMKA – Muigizaji Bora wa Kike katika World Cinema – Washindi ni wawili, Leena Alam kutoka Afghanstan na Myra Vishwakarma kutoka India
Mchekeshaji Bora katika Filamu Ndefu – Mshindi ni Madebe Lidai kupitia filamu ya ‘MAMA MWALI’
Mwandishi Bora wa Muswada – Filamu iliyoshinda ni ‘SUPA MAMA’, mshindi akiwa ni Christina Pande
Mhariri Bora wa Filamu Fupi – Mshindi ni Ibrahim Jabir kupitia filamu ya ‘TAMAA’.
Mpiga Picha Bora Filamu Ndefu – Filamu iliyoshinda ni T-JUNCTION mshindi akiwa ni Lister Millado.
Mpiga Picha Bora katika Filamu Fupi – Mshindi ni Adam Juma katika filamu ya ‘TAMAA’.
Muziki Bora wa Filamu Ndefu – Filamu iliyoshinda ni ‘DEMA’ mshindi akiwa ni Khatwab Khamis.
Muziki Bora World Cinema – Filamu iliyoshinda ni ‘THE SILENT REVOLUTION’
Muziki Bora wa Filamu Fupi – Filamu iliyoshinda ni SISI NA WAO
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK