AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Magunia 17 kura zilizopigwa yakamatwa nchini Nigeria kufwatia uchaguzi. Magunia hayo yamekamatwa kwenye Jimbo la Kano na inadaiwa kura zake zimepigwa ili kukipa ushindi chama tawala(All Progressive Party-APC).
Hata hivyo baada ya uchunguzi Jeshi la Polisi lilieleza kuwa karatasi hizo si halisi bali ni za mfano na hazikuwa zimetumika.
Imethibitishwa kuwa watu wawili tayari wameshatiwa kwenye mkono wa sheria na magunia hayo kwaajili zaidi ambao utaendelea kufanyika.
Msemaji wa Polisi amesema karatasi hizo zilikuwa zikisafirishwa kwenda vijiji ili zisaidie kutoa elimu ya kupiga kura
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK