AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka amezindua oparesheni maalum ya kuwasaka watuhumiwa wa mauaji ya watoto katika Mkoa wa Njombe kufuatia kuongezeka kwa mauaji ya watoto kwenye mkoa huo.
Kauli hiyo inakuja kufuatia kutokea kwa mauaji ya watoto 9 ambapo Mkuu wa Mkoa wa Njombe Christopher Ole-Sendeka amebainisha kuwa ikitokea kwa tukio hilo familia nzima zitahusishwa na pamoja na viongozi wa eneo husika.
Ole Sendeka amesema "hata kama ulipigiwa simu tutaifuatilia simu yako, utatuunganisha na utatueleza mahusiano yako na huyo mtu na haya anayoyafanya ukijifanya kukataa tutakuunganisha kwenye mauaji ya watoto."
"Tungependa kuanza na hawa ambao ni matajiri wanaoaminika walipata utajiri kwa njia ambazo si halali watatusaidia na tutawashika ili kuisaidia Jeshi la Polisi." ameongeza Ole Sendeka
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK