AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea asubui ya leo atia kipindi cha 360 na clouds media, Joyce anasema kuwa familia yake ya ITV wako tayari kufanya chochote kile ili kuhakikisha kuwa wanapata pesa kwa ajili ya kuhakikisha matibabu ya mkurugenzi wa Clouds media yanapatikana.
Joyce anasema uwa pamoja na yote, kumeundwa kamati ya kusaidia kuchangia pesa hiyo na akiwa kama mmoja ya watu wa media amekuwa msatri wa mbele katika kusaidia kamati hiyo.
Hata hivyo Joyce anasema kuwa , alipotoa taarifa kwa mmiliki wa Vituo vya Itv na radio one mh raginald mengi alisema kuwa yuko tayari kufanya lolote pale atakapoambiwa kufanya ambacho amati itakuwa imeamua ili kufanikisha zoezi hilo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
mENGI..KATIKA HILI WALA ISIWE KIKI.
ReplyDeleteUNAJITOLEA KIMYA KIMYA NA UNAFANYA KWELI.
MTU MGONJWA.. UUNGWANA NI KUTO BILA MITANDAO KUJUA.
NI WEWE NA MUNGU SHAHIDI WA MOYO WAKO.
TOA NA MUNGU ANAKUONA NA SIYO MITANDAONI. HATA JPJM ALIKUSIFU KWA MOYO HUO... SASA FANYA KWELI USITUANGUSHE NA MITANDAONI HAPANA.