AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hata hivyo kwa muda mrefu sasa tangu ameanza kuomba msaada na hakuna aliyekuwa tayari kufanya hivyo lakini mkuu wa mkoa, Mh Paul Makonda ameamua kujitoa kwa ajili ya matibabu ya msanii huyo ambapo ameanza kutibiwa.
Msanii huyo siku ya February 19 alianza kwa kuapatiwa matibabu katika hospitali ya muhimbili na kisha kuamishiwa katika hospitali ya mloganzila kwa ajili ya vipimo zaidi.
Lakini bado msanii huyo anahitaji msaada sana kutoa kwa watu na wadau mbalimbali.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK