Mh Makonda Aanza Kusaidia Matibabu ya Pascal

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Aliyewahi kuwa mshiriki na mshindi wa shindano la BSS Pascal Cassian amekuwa hoi kitandani kwa muda mrefu huku akiomba msaada kwa watu na wasanii wenzake lakini swala hilo lilishindwa kufanikiwa, hata hivyo mke wake amekuwa akipiga kelele sana katika vyomba vya habari kutaka kuomba msaada kwa watu ili aweze kutibiwa.

Hata hivyo kwa muda mrefu sasa tangu ameanza kuomba msaada na hakuna aliyekuwa tayari kufanya hivyo lakini mkuu wa mkoa, Mh Paul Makonda ameamua kujitoa kwa ajili ya matibabu ya msanii huyo ambapo ameanza kutibiwa.


Msanii huyo siku ya February 19 alianza kwa kuapatiwa matibabu katika hospitali ya muhimbili na kisha kuamishiwa katika hospitali ya mloganzila kwa ajili ya vipimo zaidi.

Lakini bado msanii huyo anahitaji msaada sana kutoa kwa watu na wadau mbalimbali.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad