Mo J “Pamoja na Migogoro Yetu Kibao Bado Nataka Kumuoa Gigy”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mtangazaji wa Choice Fm ambaye amezaa na msanii wa Bongo fleva Gigy Money, Mo J amefunguka na kusema kuwa pamoja na kwamba yeye na Gigy wana matatizo mengi Lakini Ndiye mwanamke anayetaka kumuoa.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Global Publishers,  Mo J alisema kuwa mpango wa kumuoa Gigy Money alikuwa nao kwa muda mrefu kwa sababu kwanza ni mwanamke aliyethubutu kubeba mimba yake kwa kipindi chote cha miezi tisa hivyo kumpa heshima ya kuitwa baba.

Gigy ndiyo sababu ya mimi leo kuitwa baba, nampenda sana hayo mambo mengine ya migogoro huwa yanatokea tu kwa bahati mbaya, namshukuru Mungu Gigy ni muelewa hivyo huwa tunaongea na kumaliza tofauti zetu wenyewe, kwa hiyo Mungu akipenda kabla huu mwaka haujaisha nitafu nga naye ndoa”.

Pamoja na Mo j kusema hayo Lakini Gigy ameonekana akiwa na mwanaume mwingine na ameweka wazi kuwa amemuacha Mo J na hawezi kurudiana naye.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad