AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
uchaguzi Mkuu nchini Nigeria unatarajiwa utafanyika Jumapili ijayo February 23, 2019, mara baada ya Tume huru ya uchaguzi nchini humo (INEC) kuhahirisha hapo February 16 mwaka huu.
INEC walitangaza kuhairishwa kwa uchaguzi huo saa tano tu kabla ya wapiga kura kuelekea katika vituo vya upigaji kura.
Hata hivyo vyombo vya habari vya ndani nchini Nigeria viliripoti kuwa vifaa vya kupigia kura vilikuwa bado havijawasili katika maeneo yote nchini humo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK