Rais wa Nigeria awataka Polisi na Wanajeshi kutoonyesha huruma kwa wezi wa kura

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais wa Nigeria awataka Polisi na Wanajeshi kutoonyesha huruma kwa wezi wa kura
Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari amewaamuru polisi na wanajeshi nchini humo wasionyeshe huruma mbele ya wezi wa kura kipindi hiki wakati maandalizi yakiendelea kwa ajili ya uchaguzi huo ulioahirishwa.

uchaguzi Mkuu nchini Nigeria unatarajiwa  utafanyika Jumapili ijayo February 23, 2019, mara baada ya Tume huru ya uchaguzi nchini humo (INEC) kuhahirisha hapo February 16 mwaka huu.

INEC walitangaza kuhairishwa kwa uchaguzi huo saa tano tu kabla ya wapiga kura kuelekea katika vituo vya upigaji kura.

Hata hivyo vyombo vya habari vya ndani nchini Nigeria viliripoti kuwa vifaa vya kupigia kura vilikuwa bado havijawasili katika maeneo yote nchini humo.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad