AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Awali Rais Magufuli alikuwa ameagiza uhakiki na malipo viwe zimekamilika kabla ya Januari 31, lakini maelfu ya tani za korosho bado hazijahakikiwa.
Hadi kufikia January 30, 2019 Serikali imenunua jumla ya tani 214,269.684 za korosho ghafi zenye thamani ya Sh. 707,089,957,200.00 sawa na asilimia 89.3 ya lengo la uzalishaji.
Juzi Bungeni Naibu Waziri wa kilimo, Omar Mgumba alisema jumla ya wakulima 390,466 wamekwisha lipwa hadi kufikia January 30 mwaka huu, huku Vyama vya msingi 603 vimelipwa kati ya vyama vya msingi 605 vilivyohakikiwa.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK