Serikali yaongeza muda wa kuhakiki korosho za wakulima

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Serikali yaongeza muda wa kuhakiki korosho za wakulima
Serikali imeongeza muda wa mwisho wa kufanya uhakiki wa korosho za wakulima hadi Februari 15 mwaka huu, kisha wataanza kulipwa stahiki zao.

Awali Rais Magufuli alikuwa ameagiza uhakiki na malipo viwe zimekamilika kabla ya Januari 31, lakini maelfu ya tani za korosho bado hazijahakikiwa.

Hadi kufikia January 30, 2019 Serikali imenunua jumla ya tani 214,269.684 za korosho ghafi zenye thamani ya Sh. 707,089,957,200.00 sawa na asilimia 89.3 ya lengo la uzalishaji.

Juzi Bungeni Naibu Waziri wa kilimo, Omar Mgumba alisema jumla ya wakulima 390,466 wamekwisha lipwa  hadi kufikia January 30 mwaka huu, huku Vyama vya msingi 603 vimelipwa kati ya vyama vya msingi 605 vilivyohakikiwa.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad