Sugu afafanua suala la 'Rais wa Mbeya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Sugu afafanua suala la 'Rais wa Mbeya
Mbunge wa Mbeya mjini,Joseph Mbilinyi 'Sugu' ametoa ufafanuzi wa kwanini wananchi wa Mbeya
walimpa jina la 'Rais wa Mbeya'.

Sugu akiongea na Azam TV amesema jina hilo limetokana na kile alichodai ni kufanya mambo mengi kwa wananchi hao ambayo awali yalishindikana.

"Nilipokuja mimi nakuleta suluhisho kwa kushirikiana na wananchi, wenyewe wahakaona huyo tumuite Rais wetu, sio kitu kibaya,

"Kwa hiyo haikuwa sasa, Sugu kasema sasa niite Rais, no!, ni wananchi wengine," amesema Sugu. 

Kauli ya Sugu inakuja mara baada ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila kupiga marufuku Mbunge kujiita Rais na kudai kuwa kila mmoja asimamie nafasi yake na majukumu yake.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad