Tundu Lissu Kufanyiwa Upasuaji wa 23 Leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Tundu Lissu Kufanyiwa Upasuaji wa 23 Leo
Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu leo anafanyiwa upasuaji wa 23 na wa mwisho katika Hospitali ya Chuo Kikuu cha Leuven, Gasthuisberg nchini Ubelgiji.

Lissu amesema baada ya upasuaji huo utakaofanywa kwenye goti la mguu wake wa kulia atakuwa tayari kurejea nyumbani mwaka huu.

Tundu Lissu yupo nje ya nchi tangu Septemba 7 mwaka juzi aliposhambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 akiwa maeneo ya nyumbani kwake Area D jijini Dodoma akitoka kuhudhuria Mkutano wa Bunge.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad