Ubalozi wa Marekani nchini Kenya watoa tahadhari ya Ugaidi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ubalozi wa Marekani nchini Kenya umeonya kuhusu uwezekano wa kutokea kwa shambulizi la kigaidi dhidi ya raia wa mataifa ya magharibi katika miji ya Nairobi, Naivasha,Nanyuki na ukanda wa pwani ya Kenya.

Hatua hiyo inakuja kufuatia hivi karibuni nchi ya Kenya kutikiswa na shumbalio la kigaidi ambapo watu zaidi ya 20 walifariki.

Utakumbuka mwezi uliopita mamia ya watu walilazimika kutoroka umwagikaji damu ulioshuhudiwa katika hoteli ya DusitD2 na jengo la kibiashara. Kenya imekuwa ikilengwa na kundi la al Shabab tangu Okotoba 2011, wakati taifa hilo lilipotuma vikosi vyake nchini Somalia kupambana na kundi hilo la jihadi.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad