AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii na mtangazaji anaeitwa zamaradi mketema ameamua rasmi kuirudisha heshima ya sanaa ya filamu Tanzania kwa kuitangaza filamu mpya ambayo inaitwa "COP's Enemy" ambayo imehusisha wasanii kutoka Tanzania akiwemo Wema sepetu, aunty ezekiel na wengine kutoka nigeria, Australia na wengine wengi, Ambapo amefunguka kwa kusema kuwa gharama za filamu hiyo ni takribani million 200 na imetengenezwa kwa miaka miwili
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK