AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baadhi ya wachezaji wa Simba wakiwa na viongozi wa timu hiyo na kocha wao Patrick Aussems wamewasili kwenye uwanja wa ndege wa Mwalimu JK. Nyerere Jumatatu hii majira ya saa nane mchana. Lakini kubwa zaidi lililowashtua watu wengi ni jinsi ya staili waliyotumia kuwasili hapa nchini wakiwa mafungu mafungu huku wengine wakitarajiwa kuwasili Jumanne hii ya February 5, 2019.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK