AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya RC Makonda kutoa kauli ya kuhitaji kumsaidia Pascal Cassian aliyekuwa mshindi wa BSS mwaka 2009 baada ya kupata ajali ya gari iliyopelekea kupasuka kwa kibofu na kushindwa kuendelea na majukumu yake na kujiuguza kwa muda mrefu, kuna taarifa ziliendelea mtandaoni zikidai kuwa mwimbaji wa nyimbo za injili Madam Flora na mume wake wamemtorosha mgonjwa huo.
Madam Flora kafunguka kuhusu hilo pamoja na mchango wake kwa Pascal Cassian toka apate ajali.
BONYEZA PLAY HAPA CHINI KUTAZAMA ALICHOZUNGUMZA FLORA.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK