AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
January 31, 2019 Mkutano wa kumi na nne wa Bunge la kumi na moja umeendelea Dodoma ambapo katika kipindi cha maswali na majibu miongoni mwa jambo lililoleta mjadala mkubwa ni pamoja na swali la Mbunge wa viti maalum CCM Zainab Katimba aliyehoji Serikali kwamba je, kuna utafiti wowote umefanyika kubaini kama adhabu ya viboko kwa wanafunzi inaongeza ufaulu katika shule zetu.
Hapa Spika Job Ndugai na yeye akakumbushia namna alivyomtandika mtu bakora katika kipindi cha kampeni.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK