AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wanamgambo 24 wa kundi la al shabaab nchini Somalia waangamizwa na jeshi la Marekani katika operesheni yake Hiran.
Jeshi la Marekani ambalo linatambulika kama AFRICOM, limeshambulia kambi za wanamgambo hao kwa lengo la kudhoofisha nguvu za kundi hilo kuendesha amshambulizi dhidi ya raia nchini Somalia.
Baada ya operesheni hiyo, usalama umeimarishwa katika ofisi za mashirika ya kimataifa yanayopatikana nchini Somalia.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK