Watuhumiwa watatu wa mauaji ya watoto Njombe wapandishwa kizimbani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Watuhumiwa watatu wa mauaji ya watoto Njombe wapandishwa kizimbani
Watuhumiwa watatu wa matukio ya mauaji ya watoto mkoani Njombe Leo Jumanne February 12, 2019 wamefikishwa mahakamani katika mahakama ya hakimu mkazi Njombe akiwemo Joel Nziku  ambaye ni mtuhumiwa wa mauaji ya watoto watatu wa familia moja ya Danford Nziku mkazi wa Ikando halmashauri ya wilaya ya Njombe.

Watuhumiwa wengine ni Nasson  Kaduma na Alphonce Danda.

Nje ya mahakama hiyo ulinzi umeimarishwa kutokana na polisi kusambaa kila kona, huku msafara wa watuhumiwa hao ukisindikizwa na magari sita ya polisi.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad