Waziri Makamba aelezea hali ya Ruge Mutahaba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira na Muungano, January Makamba
amesema alipata nafasi ya kwenda Afrika Kusini kumuona Mkurugenzi wa Uzalishaji na Vipindi
Clouds Media Group, Ruge Mutahaba.

Kwenye mahojiano na kipindi cha Clouds 360 kinachoruka Clouds TV ambapo ameeleza
Madaktari wanaomtibu Ruge wamempa jina la mpambanaji kutokana na namna anavyoumwa.

"Mimi nilipata nafasi ya kwenda South Afrika, nikaamua nikawaone madaktari wake, wamempa
jina wanamuita 'RUGE THE FIGHTER," amesema Waziri Makamba.

Katika hatua nyingine, amesema Sheria ya Makosa ya Mitandao ya Mwaka 2015, hakuhusika katika mchakato wa utungwaji kwa sababu alikuwa Naibu Waziri Mawasiliano, na mchakato ulihusisha wataalamu wa wizara, makatibu wakuu, mawaziri, na yeye hakuwa miongoni mwa makundi hayo.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad