AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Familia ya aliyekuwa mkurugenzi wa vipindi Clouds Media RUGE MUTAHABA, amefunguka na kusema kuwa matibabu ya mgonjwa huyo ambae yuko Afrika ya kusini imekuwa kubwa sana wa siku inaweza kufika kaisi cha shilingi milion 5 hadi 6 kiasi kwamba inakuwa ngumu kama familia kuweza kumudu swala hili peke yao
Kaka wa Ruge anasema kuwa wanashukuru kwa sababu watu mbalimbali wamekuwa wakijitahidi kwa ajili ya kumsaidia hasa kipindi wanaanza matibabu , lakini kuna nguvu ya ziada katika pesa inahitajika kwa ajili ya kupata pesa ya matibabu kwa ajili ya mgonjwa.
Gharama za matibabu kwa kule ni kubwa inaweza kufika mpaa milion 5 , au 6 kwa siku, pamoja na wamba hata Mh rais Magufuli aliwahi kutoa pesa kwa ajili ya matibabu lakini gharama zimekuwa kubwa sana
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK