Albamu ya Jay Z yaingizwa Makumbusho ya Taifa Marekan

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Albamu ya Jay Z yaingizwa Makumbusho ya Taifa Marekan
Album ya sita ya msanii wa muziki nchini Marekani, Jay Z inayokwenda kwa jina la The Blueprint imeingizwa kwenye makumbusho ya taifa Marekani (Library of Congress/ National recording registry) ambapo kazi bora zenye zilizobeba historia, tamaduni na ubora wa mpangolio na uandishi huifadhiwa.

The Blueprint ni moja ya Album 25 zilizotangazwa kuongezwa kwenye makumbusho hayo ambayo hukusanya kazi bora kutoka katika kila aina ya muziki na kuzihifadhi kwa ajili ya historia ya muziki kwa vizazi vijavyo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad