AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Asasi hiyo, Citizens Responsibility and Ethics, ilifungua shauri la kimaadili wiki iliyopita, ikidai kwamba Shanahan ametoa kauli zinazoonekana kuitangaza Boeing na kuwashambulia washindani wake kama Lockheed Martin.
Haya yanajiri wakati kampuni hiyo ikikumbwa na mkasa wa ndege yake chapa Boeing 737 Max 8 ambayo imepata ajali mara mbili katika muda wa miezi mitano, na kuangamiza maisha ya mamia ya watu.
Boeing imesema imetengeneza programu mpya ya kompyuta ya kuendesha ndege hiyo, mbadala kwa iliyokuwepo ambayo inadhaniwa kuwa chanzo cha ajali hizo.
Msemaji wa mkaguzi mkuu wa Pentagon amesema Shanahan amekwishaarifiwa kuhusu uchunguzi dhidi yake, na ameikaribisha hatua hiyo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK