AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kisanduku(Black Box) cha kurekodia taarifa za ndege wakati wa safari kilichokuwa cha ndege ya Boeing 737 MAX 8 iliyoanguka na kuua watu 157 chapatikana
Wataalamu wa uchunguzi wanasema kuwa kifaa hicho kitasaidia sana kutoa taarifa za sababu hasa za kuanguka kwa ndege hiyo
Hata hivyo imeelezwa kuwa kisanduku hicho kimeharibika kwa sehemu, hivyo unaangaliwa uwezekano wa kukarabati
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK