Rais Magufuli Kukutana na Wachezaji wa Taifa Stars Leo IKULU

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais Magufuli Kukutana na wachezaji wa Taifa Stars Leo IKULU
Rais Magufuli atakutana na wachezaji wa Taifa Stars, viongozi wa TFF, Kamati ya Uhamasishaji na bondia Hassan Mwakinyo leo Machi 25, 2019, saa 4:00 asubuhi Ikulu, jijini Dar es Salaam.

Taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa inaeleza kuwa pamoja na mambo mengine, Rais pia atawapongeza na kula nao chakula cha mchana.
Rais Magufuli Kukutana na wachezaji wa Taifa Stars Leo IKULU
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad