Tanzania na Rwanda wazungumza kutumia Rwanda Air kusafirisha samaki kutoka Kanda ya Ziwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Tanzania na Rwanda zinafanya mazungumzo ya kutumia ndege za Rwanda kusafirisha samaki kutoka Kanda ya Ziwa kwenda masoko mbalimbali duniani.

Hatua itakayofungua fursa kwa wafanyabiashara wa samaki wa jumla. Mwaka 2017/18 serikali ilikusanya Tsh. Tril 1.7 kutoka sekta ya samaki.

Utakumbuka Machi 8 mwaka huu Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Paul Kagame alifanya ziara ya kikazi ya siku 2 hapa nchini ambapo alikutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, Ikulu Jijini Dar es Salaam.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad